Huyu dogo ni chalii mdogo tu kamaliza chuo miaka mitatu nyuma, leo nimebahatika kuona salary slip yake, kidogo nizimie yaani. Vote code na sub vote kwenye salary slip ni nini, naipata wapi? Maana namba yao waliyoweka kwenye.
Wana jf habari za majukumu.
Haya mabenki wadau ni tatizo. Kuna private sector watu wanakula good time sio poa! Jamiiforums tanzania kuna changamoto katika kupata salary slip kwenye mtandao ninaomba mamlaka husika watatue changamoto hii kwani watu watumishi wengi tunapata shida. Kwenye salary step ni 1ua 2 anagalia salary slip ni tgts d/e ni 1au 2 baada ya hapo verify
Yaani nimecheki balance nikakuta hela yangu imefyekwa ikabidi nichukue/nicheki statement fupi kupitia app ya nmb na kukuta nimekatwa. Mlioajiriwa siku nyingi msaada tafadhari. Nakumbuka nilipokuwa mwalimu wa shule ya. Hii ngoma bado haijavuja au safari hii wamekuwa makini kuliko miaka ya nyuma ambapo majedwali ya viwango vipya vya mishahara na makato kama paye huvuja?
Hatua zote za mwanzo huduma ina kamilika, tatizo napofikia hatua ya kujaza mwaka ninaohitaji slip.
Wakuu nawasalimu, miaka kadhaa iliyopita niliajiriwa, nikafungua akaunti ambayo inaniwezesha kuangalia mshahara wangu na makato mengine kwenye mshahara wangu. Nimesajili huduma ya salary slip portal kupitia mof. Samahani, naomba kama kuna mwenye kufahamu iwapo mtu amesahau password ya kwenye account ya salary slip portal afanyeje.